Thursday, December 10, 2015

Roberto in dodoma

Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto
Chindaba Banda ‘maarufu Roberto Amarula kutoka
nchini Zambia (katikati), akizungumza katika
mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam
leo, kuhusu onyesho lake atakalolifanya leo katikka
fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar es
Salaam na kesho ukumbi wa Ngalawa Pub mkoani
Dodoma katika Tamasha la Instagram Party
Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa
Freconic Ideaz, Fred Ngimba ambao wamemleta
msanii huyo hapa nchini kwa kushirikiana na
Kampuni ya C&G Solutions na kulia ni Mwanamuzi
David Banda ‘General Ozzy kutoka Zambia.